Skip to content
Mathayo 10:2-4

Mathayo 10:2-4

2
Haya ndiyo majina ya hao mitume kumi na wawili: wa kwanza, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye;
3
Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;
4
Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options