Skip to content
Marko 8:6-7

Marko 8:6-7

6
Akawaambia watu waketi chini. Akiisha kuichukua mikate saba na kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi wake ili wawagawie watu. Wanafunzi wake wakafanya hivyo.
7
Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options