মূল বিষয়বস্তুতে যান
Marko 8:27-28

Marko 8:27-28

27
Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda katika vijiji vya Kaisaria-Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
28
Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema wewe ni mmojawapo wa manabii.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options