Skip to content
Marko 7:6-9

Marko 7:6-9

6
Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki. Kama ilivyoandikwa: “ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
7
Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’
8
Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
9
Naye akawaambia, “Ninyi mnayo njia nzuri ya kukataa amri za Mungu ili mpate kuyashika mapokeo yenu!
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options