Marko 7:20-22
20
Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
21
Kwa maana kutoka ndani ya moyo wa mtu hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi,
22
tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, matukano, kiburi na upumbavu.