Skip to content
Marko 6:41-44

Marko 6:41-44

41
Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi wake ili wawagawie wale watu wote. Pia akawagawia wote wale samaki wawili.
42
Watu wote wakala, wakashiba.
43
Nao wanafunzi wake wakakusanya vipande vilivyosalia vya mikate na samaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
44
Idadi ya wanaume waliokula walikuwa 5,000.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options