Skip to content
Marko 6:27-28

Marko 6:27-28

27
Mara mfalme akatuma askari mmojawapo wa walinzi wake kukileta kichwa cha Yohana. Akaenda na kumkata Yohana kichwa humo gerezani,
28
akakileta kichwa chake kwenye sinia na kumpa yule msichana, naye yule msichana akampa mama yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options