Marko 5:27-29
27
Alikuwa amesikia habari za Yesu, naye akaja kwa nyuma yake kwenye umati wa watu, akaligusa vazi lake,
28
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikiweza kuligusa vazi lake tu, nitaponywa.”
29
Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.