Skip to content
Marko 5:11-13

Marko 5:11-13

11
Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.
12
Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu wakisema, “Tuamuru twende kwenye wale nguruwe. Turuhusu tuwaingie.”
13
Basi Yesu akawaruhusu, nao wale pepo wachafu wakatoka, wakawaingia hao nguruwe. Lile kundi lilikuwa na nguruwe wapatao 2,000, nao wote wakateremkia gengeni kwa kasi, nao wakatumbukia ziwani na kuzama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options