Skip to content
Marko 3:13-15

Marko 3:13-15

13
Yesu akapanda mlimani na kuwaita wale aliowataka, nao wakamjia.
14
Akawachagua kumi na wawili, ambao aliwaita mitume, ili wapate kuwa pamoja naye, na awatume kwenda kuhubiri
15
na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo wachafu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options