Skip to content
Marko 16:1-2

Marko 16:1-2

1
Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
2
Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options