Skip to content
Marko 15:17-19

Marko 15:17-19

17
Wakamvalisha Yesu joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.
18
Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
19
Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options