Marko 14:56-59
56
Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.
57
Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:
58
“Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitalibomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga jingine ambalo halikujengwa na wanadamu.’ ”
59
Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukukubaliana.
Settings