Skip to content
Marko 14:56-59

Marko 14:56-59

56
Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.
57
Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:
58
“Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitalibomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga jingine ambalo halikujengwa na wanadamu.’ ”
59
Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukukubaliana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options