Skip to content
Marko 14:55-59

Marko 14:55-59

55
Viongozi wa makuhani na Baraza la Wayahudi lote wakatafuta ushahidi dhidi ya Yesu ili wapate kumuua. Lakini hawakupata jambo lolote.
56
Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.
57
Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:
58
“Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitalibomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga jingine ambalo halikujengwa na wanadamu.’ ”
59
Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukukubaliana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options