Skip to content
Marko 14:55-56

Marko 14:55-56

55
Viongozi wa makuhani na Baraza la Wayahudi lote wakatafuta ushahidi dhidi ya Yesu ili wapate kumuua. Lakini hawakupata jambo lolote.
56
Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options