Skip to content
Marko 14:37-40

Marko 14:37-40

37
Akarudi kwa wanafunzi wake, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, “Simoni, umelala? Je, hukuweza kukesha hata kwa saa moja?
38
Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”
39
Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.
40
Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Nao hawakujua la kumwambia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options