Skip to content
Marko 13:32-33

Marko 13:32-33

32
“Kwa habari ya siku ile na saa hakuna yeyote ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
33
Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options