Skip to content
Marko 13:24-25

Marko 13:24-25

24
“Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, “ ‘jua litatiwa giza nao mwezi hautatoa nuru yake;
25
nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options