Skip to content
Marko 11:29-30

Marko 11:29-30

29
Yesu akawajibu, “Nitawauliza swali moja. Nijibuni, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
30
Niambieni, je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options