Marko 11:19-21
19
Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
20
Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.
21
Petro akakumbuka na kumwambia Yesu, “Rabi, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”