Skip to content
Marko 11:12-14

Marko 11:12-14

12
Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.
13
Akauona mtini kwa mbali, naye akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.
14
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options