Skip to content
Marko 10:7-9

Marko 10:7-9

7
Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.’
8
Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja.
9
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options