Skip to content
Marko 10:43-45

Marko 10:43-45

43
Lakini isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote anayetaka kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa mtumishi wenu,
44
na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza, hana budi kuwa mtumwa wa wote.
45
Kwa kuwa hata Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options