Skip to content
Marko 10:35-37

Marko 10:35-37

35
Kisha Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lolote tutakalokuomba.”
36
Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”
37
Wakamwambia, “Tupe kukaa mmoja upande wako wa kuume na mwingine upande wako wa kushoto katika utukufu wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options