Skip to content
Marko 1:7-8

Marko 1:7-8

7
Naye alihubiri akisema, “Baada yangu atakuja yeye aliye na uwezo kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kuinama na kulegeza kamba za viatu vyake.
8
Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options