Skip to content
Marko 1:4-5

Marko 1:4-5

4
Yohana alikuja, akibatiza huko nyikani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
5
Watu kutoka Uyahudi wote na sehemu zote za Yerusalemu walikuwa wakimwendea. Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options