Skip to content
Marko 1:27-28

Marko 1:27-28

27
Watu wote wakashangaa, hata wakaulizana wao kwa wao, “Haya ni mambo gani? Ni mafundisho mapya, tena yenye mamlaka! Anaamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!”
28
Sifa zake zikaanza kuenea haraka katika eneo lote la karibu na Galilaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options