Marko 1:27-28
27
Watu wote wakashangaa, hata wakaulizana wao kwa wao, “Haya ni mambo gani? Ni mafundisho mapya, tena yenye mamlaka! Anaamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!”
28
Sifa zake zikaanza kuenea haraka katika eneo lote la karibu na Galilaya.