Luka 8:54-56
54
Yesu akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”
55
Roho yake ikamrudia, naye akainuka mara moja. Akaamuru apewe kitu cha kula.
56
Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote juu ya yale yaliyotukia.