Skip to content
Luka 8:51-53

Luka 8:51-53

51
Walipofika nyumbani kwa Yairo, hakumruhusu mtu yeyote aingie ndani naye isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, pamoja na baba na mama wa yule binti.
52
Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Yesu akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.”
53
Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options