Skip to content
Luka 7:47-50

Luka 7:47-50

47
Kwa hiyo, nakuambia, dhambi zake zilizokuwa nyingi zimesamehewa, kwani ameonyesha upendo mwingi. Lakini yule aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo.”
48
Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”
49
Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”
50
Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options