Skip to content
Luka 7:44-46

Luka 7:44-46

44
Kisha akamgeukia yule mwanamke, akamwambia Simoni, “Je, unamwona mwanamke huyu? Nilipoingia nyumbani mwako, hukunipa maji ya kunawa miguu yangu, lakini huyu ameninawisha miguu kwa machozi yake, na kunifuta kwa nywele zake.
45
Hukunisalimu kwa busu, lakini huyu mwanamke hajaacha kuibusu miguu yangu tangu nilipoingia.
46
Hukunipaka mafuta kichwani mwangu, lakini yeye ameipaka miguu yangu manukato.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options