Skip to content
Luka 6:39-40

Luka 6:39-40

39
Pia akawapa mfano akasema, “Je, kipofu aweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia shimoni?
40
Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, ila yule aliyehitimu aweza kuwa kama mwalimu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options