Skip to content
Luka 6:36-38

Luka 6:36-38

36
Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37
“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
38
Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options