Skip to content
Luka 6:36-37

Luka 6:36-37

36
Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37
“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options