Skip to content
Luka 6:35-36

Luka 6:35-36

35
Lakini wapendeni adui zenu, watendeeni mema, wakopesheni bila kutegemea kurudishiwa mlichokopesha. Ndipo thawabu yenu itakapokuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Sana, kwa sababu yeye ni mwema kwa watu wasio na shukrani na kwa wale waovu.
36
Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options