Skip to content
Luka 6:24-25

Luka 6:24-25

24
“Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.
25
Ole wenu ninyi mlioshiba sasa, maana mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa, maana mtaomboleza na kulia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options