Skip to content
Luka 5:5-6

Luka 5:5-6

5
Simoni akamjibu, “Bwana, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha na hatukuvua chochote. Lakini, kwa neno lako nitazishusha nyavu.”
6
Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza kukatika.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options