Skip to content
Luka 4:36-37

Luka 4:36-37

36
Watu wote wakashangaa, wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”
37
Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options