Luka 4:29-30
29
Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa, ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali.
30
Lakini yeye akapita papo hapo katikati ya huo umati wa watu akaenda zake.