본문으로 건너뛰기
Luka 4:28-30

Luka 4:28-30

28
Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.
29
Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa, ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali.
30
Lakini yeye akapita papo hapo katikati ya huo umati wa watu akaenda zake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options