Skip to content
Luka 4:1-2

Luka 4:1-2

1
Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akarudi kutoka Yordani. Akaongozwa na Roho Mtakatifu hadi nyikani,
2
mahali ambako kwa siku arobaini alikuwa akijaribiwa na ibilisi. Kwa siku zote hizo hakula chochote, hivyo baada ya muda huo akaona njaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options