Skip to content
Luka 3:21-22

Ubatizo wa Yesu

Luka 3:21-22
21
Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
22
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options