Skip to content
Luka 24:41-43

Luka 24:41-43

41
Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
42
Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
43
naye akakichukua na kukila mbele yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options