Skip to content
Luka 24:30-31

Luka 24:30-31

30
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
31
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options