Luka 23:32-33
32
Watu wengine wawili wahalifu, walipelekwa pamoja na Yesu ili wakasulubiwe.
33
Walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, hapo ndipo walipomsulubisha Yesu pamoja na hao wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.