Skip to content
Luka 23:11-12

Luka 23:11-12

11
Herode na askari wake wakamdhihaki Yesu na kumfanyia mzaha. Wakamvika vazi zuri sana, wakamrudisha kwa Pilato.
12
Siku hiyo, Herode na Pilato wakawa marafiki; kabla ya jambo hili walikuwa na uadui kati yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options