Skip to content
Luka 22:63-65

Luka 22:63-65

63
Watu waliokuwa wanamlinda Yesu wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
64
Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?”
65
Wakaendelea kumtukana kwa matusi mengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options