Skip to content
Luka 22:63-64

Luka 22:63-64

63
Watu waliokuwa wanamlinda Yesu wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
64
Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options