Skip to content
Luka 22:43-44

Luka 22:43-44

43
Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.
44
Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options