Skip to content
Luka 22:3-5

Luka 22:3-5

3
Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale Kumi na Wawili.
4
Yuda akaenda kwa viongozi wa makuhani na kwa maafisa wa walinzi wa Hekalu, akazungumza nao jinsi ambavyo angeweza kumsaliti Yesu.
5
Wakafurahi na wakakubaliana kumpa fedha.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options